Dec 29, 2011

CloudsTV wanauharibu wimbo wa Taifa la Tanzania


Kuna wimbo ambao Television ya Clouts imekuwa ikiuweka kila mara, huku
selikali ukiusikiliza bila kuchukua hatua yeyote ile, ni mchafu na
haufuati taratibu za wimbo wa Taifa unaoheshimika na kila mtu hapa
Tanzania.

Kwanza haukuimbwa kama ulivyo wimbo ule tunaouheshimu sisi Watanzania,, hii sasa nini tunafanya

naomba tuwe serious katika mambo ya msingi wimbo wa Taifa si wa
kuuchezea...

No comments: