Nov 9, 2012

Mrembo wangu wa Ijumaa hii

Naanza kwa kumpongeza mrembo na mwanamitindo Karrueche Tran kwa uwamuzi wake wa Busara aliouchukua wa kuachana boyfriend wake,Chris Brown.

Hivi karibuni vyombo vingi vya habari vimeripoti kuhusu mrembo na mwana mitindoKarrueche Tran kuachana na mwimbaji / maarufu ambae anapenda sana kuwanyanyasa girlfriend zake pale anapokuwa nao.

Taarifa zilizoenea katika mitandao hivi karibuni zinadai mwimbaji huyo amerudiana na girlfriend wake wa zamani"RiRi" nadhani mpaka hapo umesha jua namzungumzia nani,huyu si mwingine ni dude,Chris Brown.

Na kama wewe unaamini na kukubali alicho sema Chris,kuwa amemuacha Karrueche, kwa sababu hakutaka kuona Karrueche anaumizwa na uhusiano wake na ex-girlfriend wake Rihanna.

Na hivi karibuni Chris amepost video mtandaoni ili mashabiki wake ulimwengu kote wajue,“Hey, y’all, Rihanna’s really hot and famous. So I’m gonna break up with my model girlfriend and try and hook up with Rihanna again.

Baada ya hayo yote je unamjua Karrueche Tran ni nani, ni mwanamke tu ambae alitaka kuwa na Brown? Huyu ni mwanamitindo toka Vietnamese ambae anaishi nchini marekani na ambae ana miliki matandao unaohusika na vyakula na huku aki hangs out na watu maarufu kama, er, Chris Brown na binti wa Rev Run’s ambae ni Angela Simmons.

Kiukweli Karrueche Tran ni Mrembo na nina mkubali angalia tu baadhi ya picha zake we mwenyewe utakubali.

No comments: