Jul 29, 2011

This is a list of My Friends in common

1. David Ngutunyi  (Classmate mate at ISW)
2. Mark Shirima  (Best Friend since Tunduru)
3. Charles Komba (Best Friend Since Tunduru  School mate "Namupa Seminary)
4. Edigar Shayo (Jeshi la Wananchi (Since Tunduru)
5. Bakari Simbeye (Media Person ITV)
6. Afka Charles (Network Manager RAHA.com)
7. Clemence Chan'ga (Officemate KOICA)
8. Judith Sassi  (Officemate KOICA)
9. Poncian Claudi (Officemate KOICA)
10. Olivary Ndamungu (Officemate KOICA)
11. Mr. Stanley Malewo (Officemate KOICA)
12. Mohamed Sinde Matata (Officemate KOICA)
13. Freddy James Lusingu (Officemate KOICA)
14. Awax (Project mate)

And you other who take the time to read and to see updates in this Blog you are wel come you are all my Friends i love you Mmmwaaaaaaaa 

Jul 14, 2011

Kujiuzuru kwa Rostam Azizi

Katika vitu ambavyo tokea niote kicha changu miaka mingi iliyopita, sijawahi kuona uamuzi wa Busara kama alio utoa Muheshimiwa Rostam Azizi,,
Uamuzi huu ni wa kiuadilifu, kiujasiri, kimaendeleo, kujiamini, kiheshima, na hata kiunganifu na watanzania wanaopenda amani na Maendeleo Tanzania.

Sasa najiuliza hivi na hawa wengine ambao wamepata Kashfa za Richmond, BOT, na zingine nyingi, kwanini wasimfuate mwenzao? wakaachia ngazi kwaajili ya kujijengea heshima na kutuliza minong'ono ya hapa na pale Nchini kwetu Tanzania?