Sep 21, 2011

INTRODUCTION OF CHRISSGOLD INTERTAINMENT

KAENI MKAO WA KULA KWA UJIO WA CAMPUNI YANGU ITAKAYO ITWA CHRISSGOLD ENTERTAINMENT

Kampuni hiyo itamilikiwa na Mimi Kama Silvanus Mumba na Mchumba wangu Aitwaye Hyasinta Kululetera, soon mwanzoni mwa mwaka 2012 itaanza makeke yake Tanzania itajihusisha na uandaaji wa kazi za Filamu na Kusambaza.