Dec 28, 2017

MTUMISHI WA MUNGU SILVANUS MUMBA AACHIA NURU

Muimbajiwa Nyimbo za Injili Tanzania ametoa Albam yake ya kwanza iitwayo NURU, Akiongea na Blog hii Silvanus Mumba ambaye pia ni Muubiri na Muinjilist amesema Album yake ina nyimbo 8 ambazi Mungu alimuonesa na kumtaka aimbe ili watu wapatekupokea uponyaji wa kiroho na kimwili

Mumba alisema Watu wainunue Album yake wasikie kilicopo kwani anasema Nyimbo yake ya kwanza iitwayo NITASUBIRI ilifanya vizuri sana na kumfanya ajisikie Faraja  kwa Mapokezi mazuri, ambayo Watanzania na Washabiki wa mziki wa Injili Duniani waliupokea na kuusifu kuwa ni wimbo Bora



Ziko nyimbo nyingi Kali na Nzuri sana kwa kuzisikia, kuburudika, na kujifunza, munapokea uponyaji kupitia Wimbo mmojammoja ulioimbwa katika Album yangu anasema Silvanus

Kuusikia Wimbo wa Kwanza uitwao Nitasubiri check hapa,

NITASUBIRI - SILVANUS MUMBA

Kuipata AlbumhiiMpigie moja kwa moja Mtumisi wa MunguSilvanus Mumba kupitia
Simu: 0713073280

Wasiliana naye kupitia
Facebook @revmumba
Instagram @silvanusmumba
Twitter      @silvanusmumba