Jun 28, 2012

PERUZI NA MIMI INALAANI VIKALI KUTEKWA NA KUPIGWA KWA DR. STEPHEN ULIMBOKA

Nimesikitika na kushangazwa sana kuona kama mambo haya yanaweza kutokea katika nchi yetu ya Tanzania, nchi ambayo Tunaiita nchi ya Amani. "Nazungumzia utekwaji nyara wa wananchi kupiga mpaka kufa na wengine kusalimika mfano Dr. Ulimboka." Bila kujali itikadi zozote namaanisha Dini, Vyama, uanaharakati, na wengine tunatakiwa tukumbuke kuwa Sisi sote ni Watanzania na nchi yetu ni nchi ya amani.

 http://youtu.be/KiYt5DsfQuc

Lakini kwa kitemdo ambacho kilimtokea DR. STEPHEN ULIMBOKA, cha kutekwa na kupigwa nusu kuuawa NI KITEMDO CHA KINYAMA NA KITECHO AMBACHO SI CHAKUKIFUMBIA MACHO KABISA, MASIKIO YETU NA MACHO YETU NI KUONA WAHUSIKA WAMEKAMATWA NA KUCHUKULIWA HATUA NA SI VINGINEVYO.




Selikali inwajibu wa kuwajibika katika kuwatafuta na kuwawajibisha ikiwezekana hata kuwanyongwa wauwaji hawa. inakera sana kuona kumbe maisha yetu yako rehani namna hii. nisingependa tena kuona selikali inakaa kimya bila kuwatafuta wauwaji hao. kwasababu hili ni tukio la tatu kulisikia na mawili sijapata majibu yake. ikiwemo lile la Igunga, Arumeru, na sasa hili sasa.
 Peruzi na mimi inapenda kutoa pole kwa DR. STEPHEN ULIMBOKA, Familia yake, Jumuhia ya Madactari yote na watanzania walio athilika kwa namna moja ama nyingine.

tunamuombea kwa mungu Hali yake itengamae aweze kurudi kazini kwatika mapambano ya kupigania hakizao Madaktari..

Jun 5, 2012

Huu ndo ujinga wa Gwantwa (Anti Ezekiel)

Alikula pesa ya watu kiasi cha shilingi Milioni 1. kutoka kampuni ya AF production, Kwa makubaliano ya kutengeneza filamu ambayo watu mpaka sasa wako Location wanashoot,
Cha kushangaza kufikia siku ya juma mosi taree 2. ambayo walikubaliana kukutana ili waanze kambi ya Shooting hiyo hakutokea, na simu akazima, Sasa kitimbi kilikuja siku ya jumapili wakati akipigiwa simu bila kupokea. Mkurugenzi wa kampuni ya AF Production akaamua kutumia simu ya msanii mwingine ili kuangalia je anafanya makusudi.
Baada ya kupiga haikuita sana akapokea, na kuulizwa je unakuja kambini hauji? Jibu alilo toa nikuwa kesho yake angesafiri kuelekea Dubai kunakazi anakwenda kufanya. kulikuwa na mvutano wa maneno na Mkurugenzi huyo anayefahamika kwa jina la MWAJUMA SAID MOHAMED akaamua kuomba ushauri, kwanza akamuomba kakayake aitwae SILVANUS MUMBA, na kukubaliana kitu.
Kufikia Saasita usiku mkurugenzi akifuatana na team yake walitimba mpaka kituo cha polisi Oysterbay na kuriport tatizo hilo na Ant akapigiwa simu hapo hapo, Bila kuchelewa akafika kuogopa Amri ya polisi.
Mazungumzo yaliendelea na Anti akakubali kulipa kiasi hicho na pesa za usumbufu, tukaachana na mimi nikaenda kulala.

Ila wasanii munajidhalilisha jamani, hii si hali mzuri na yule ni huruma tu ya Mkurugenzi tulitaka kumualibia Safari yake kwasababu yeye kaaribu kazi ya watu.