May 17, 2019

SILVANUS MUMBA: PANGA MALENGO YAKO KWA KUTUMIA SMART OBJECTIVES



Silvanus mumba Vijana wengi na wafanya biashara wengi, wale wa Biashara ndogondogo na zile biashara kubwa, hawapendi kupanga malengo yao, na ndio maana biashara zao zinakuwa sio za uhakika. utaenda mwaka huu utamkuta akiuza samaki, mwakani anauza karanga, kwasababu hawana mipango na hawajui jins ya kuifanya iwe mipango endelevu.

Peruzzi na Mimi.

No comments: