Jun 25, 2011

Zombi kama inamkosi vile

Ile filamu   ambayo niliriport juzi kuwa imefikia katika hatua za mwisho za finalization, imeingia mkosi ambao tokea niota kichwa changu haujawahi kutokea machoni mwangu. Movie hiyo katika Siku hii yaleo juma pili tarehe 25 june 2011 nimetamani kulia na kucheka kwa wakati mmoja lakini na kujionea huruma mimi na pia Editor wangu.

It was like the movie file didn't open for almost three hours we were trying to open it... finally we failed and start again newly the first scene editing.. i said this because i know wadau wataniona kama si muaminifu kwa kuwapa mzuka wa filamu hiyo..

kwa maana hiyo basi filamu hiyo itachelewa kidogo kutokana na insidence hiyo..Nawaomba radhi wote walio kuwa na big expectations about this filamu