Jun 14, 2017

BAADHI YA WAIMBAJI KWENYE TAMASHA LA BIG PRAISE CONCERT, SILVANUS MUMBA YUMO

Gazet lako la mtandaoni la Peruzi Gospel limekutana na Waandaaji wa BIG PRAISE Concert ambalo litafanyika Jumapili hii tarehe 18June 2017 Pale FPCT kurasini. Tamasha hili limekuwa Gumzo kubwa Nje na Ndani ya Nchi kwa jinsi maandalizi yake yalivyo pamba moto na kuchukua hisia za watu mbali mbali wa kubwa kiasi kwamba hata viongozi wa kisiasa kuliongelea kuwa ni Tamasha litakalo tikisa jiji na Tanzania kwa ujumla.

Wametaja list kubwa sana ya waimbaji lakini Muimbaji wa kimataifa SILVANUS MUMBA, EMMANUEL MBASHA, BISHOP ABRAH, BEATRICE KITAULI, BAHATI SIMWICHE NI BAADHI YAO, KUPATA LIST MAMILI ANGALIA PICHA HAPA CHINI WOTE WATAKUWEPO KATIKA KUFANYA KAZI INAKAMILIKA













HAKIKA TUTAUONA UWEPO WA BWANA TAMASHA HILI SIO LAKUKOSA KABISA, MAANA MAPRODUCER, MADIRECTOR NA WADAU WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA WATAKUTANA NA WAIMBAJI NA WAHUBIRI INJILI KATIKA STAGE MOJA. KIINGILIO NI BURE KABISA

No comments: