Jun 14, 2017

MUMBAJI WA INJILI TANZANIA SILVANUS MUMBA AGEUKA KUWA DILI

Muimbaji wa Nyimbo za Injli Tanzania ajulikanaye kwa jina la Silvanus Mumba, aka Reverent Silvanus Mumba, amekuwa Deal au Talk of the Town nchini Zambia, Congo, Malawi na South Africa, Baada ya Tamasha lake alilo lifanya Hivi Karibuni Ndola nchini Zambia.

Akiongea na Muandishi wetu hapa Zambia, alisema anapendwa kwa nyimbo zake ambazo zimewekwa vionjo vya kizazi kipya na yeye anabarikiwa sana na uimbaji wake binafsi, lakini pia kupitia huduma yake ya uimbaji wengi wamepata kuokolewa na wengine kupata uponyaji. 

Silanus amsema Albam yake ipo tayari na soon itakuwa released, anacho subiri ni Uongozi wake umruhusu tu aanze mchakato ili watu wapate kuburudishwa na vibao vilivyopo katika Albam hiyo. 

Mimbaji huyo ambaye anamuonekano mzuri (HB) amesema anapata usumbufu mkubwa sana especial kwa wasichana wanaojigonga kwakwe ili wamteke kimapenzi, lakini yeye anamsimamo mmoja tu, anafanya sanaa ya uimbaji kwaajiri ya Kumtukuza Mungu hivyo mambo mengine hawezi kuyachanganya katika kazi yake.  

Aidha Silvanus amesema kwa sasa yuko chimbo kuandaa Albam yake ya pili yenye vibao vikali hatari, ambavyo ataanza kuviachia mwezi December mwaka huu, huku akiwaomba washabiki wake wa nchi za jirani wakae mkao wa kula. alipo ulizwa kwanini Tanzania hakubaliki sana alijibu kuwa Nabii awiki nyumbani ingawa na nchini Tanzania anamatamasha makubwa mawili ambayo amesema lazima atafanya mabalaa makubwa sana ili watu wajifunze kupitia yeye. 

Matamasha hayo ni BIG PRAISE CONCERT  na TAMASHA LA SIFA AMBAYO imembidi asimamishe shughuli zake zote kwaajiri ya kujiandaa na Matamasha hayo, Muimbaji huyo amesema waandaaji wengi wa Matamasha wanamuogopa kutokana na status yake na Elimu yake, lakini amewatoa hofu kuwa Kwenye uimbaji status ya maisha inakaa pembeni na Gharama za kumchukua si kubwa kama wanavyo fikiria,

Silvanus Mumba anapatikama kwa Contacts:  
WHATSAPP:   0713073280
FACEBOOK:     Silvanus C. Mumba 
INSTAGRAM: silvanusmumba


Peruzzi na Mimi.

No comments: