Jun 27, 2017

TAMASHA LA DADA JACKLINE SKAMWA, KUFANYIKA JUMAPILI HII 2/07/2017

Akiongea na Mwandishi wetu, Jackline Skamwa anasena, anawashukuru sana Ndugu Silvanus Mumba (Muinjilist na Muimbaji wa Kimataifa) pia John Mgina (Kichaa wa Yesu) na Merciana Mwakapasa, Kwa kuwa naye Bega kwa bega katika maandalizi ya Uzinduzi wa Imefunguka (Mchum Yesu)

Waimbaji watakao hudumu ni wengi mno na Tamasha hilo, litakuwa la Kipekee sana, Anasema hategemei kuchangisha kitu chochote, isipokuwa atakaye Guswa na Albam yake au kupenda kuendeleza huduma hiyo, basi atamsupport kwa kununua Albam yake, ili aweze kufanya tamasha kubwa zaidi la kumtukuza Mungu.

Muimbaji Silvanus Mumba pia atakuwepo na waimbaji wa kwenye picha ifuatayo hapa chini, wote watahudumu









HAKUNA KIINGILIO, NI BUREEEEEE, NJOONI TUMSIFU MUNGU






Tamasha hili litafanyikia katika kanisa la OASIS HEALING MINISTRY (OHM) Ka Mchungaji NTEPA. KANISA  hili lipo nyuma ya Ubungo Plaza, ukifika hapo ulizia Kwa mchungaji ntepa utakuwa umefika. 
au Piga simu number 0713073280

No comments: