May 30, 2011

Salome sasa promotions kuanza wiki mbili zijazo

Filamu ya Salome iliyo andaliwa na kikundi cha SAFARI ARTS GROUP sasaipo kwenye hatua za mwisho wa kuandaa promo, na baada ya hapo kutakuwa na promo vikiambatana na usambazaji.

Akiongea na Blog hii ndigu Bensona Mmiliki wa studio ya Black and White ambao ndiyo maeditor wa filamu hiyo amesema kwa sasa wanaongea na SUPRIM kwaajiri ya usambazaji na uandaajiwa filamu hiyo umekamilika.

Ndugu Silvanus Mumba (Executive producer) amesema anamshukuru Mungu kwakuwa Filamu hiyo imemalizika salama na ni filamu ambayo itatoa majibu ya nini kimefanyika ndani ya filamu hiyo, akiongezea ndugu Eddy Besha (Director) amesema, wasanii walicheza kwa hisia ya hali ya juu na kiuhalisia kiasi kwamba atakaye iona filamu hiyo ataona matukio hayo ni kama ya kweli.

Tunawahakikishia wapenzi wa filamu Tanzania watapata kile ambacho hawajawahi kukipata n ile Pick ya kimata inakuja na filamu ya Salome.

ENDLISH:
The Salome film which was prepared by SAFARI ART GROUP, now IS approaching to enter into market, we were able to finish preparations and now we are preparing Promos and Posters for the adverts.
Speaking to this Blog Mr. Benson owner of Black and White, who is Chief Editor of the film, said that to this extent they have already confirmed that Film can be distributed. Speaking with SUPRIM distributers Mavitu said we are expecting many things from the Film.
Mr. Silvanus Mumba (Executive producer) has said surprisingly comes to Earth because in this film there are alot of things which are not familier to Tanzania Movies.

No comments: